Sunday 19 January 2014

MAWAZIRI WAPYA: serikali ya Kikwete

 
Saada Mkuya (Wizara ya Fedha), Hussein Mwinyi (Wizara ya Ulinzi), Mathias Chikawe (Wizara ya Mambo ya Ndani), Dk Titus Kamani (Wizara ya Mifugo) na Lazaro Nyalandu (Wizara ya Maliasiri na Utalii), Wengine wapya ni Dk Rose Migiro (Wizara ya Katiba na Sheria), Dk Seif Selemani Rashid (Wizara ya Afya).

MANAIBU WAPYA: 
Naibu Mawaziri wapya ni Ummy Mwalimu (Muungano), Mwigulu Nchemba na Adam Malima (Fedha), Jenista Mhagama (Wizara ya Elimu), Manaibu Mawaziri wengine katika mabadiliko hayo ni Juma Nkamia (Wizara ya Habari), Pindi Chana (Wizara ya Jinsia), Amos Makala (Wizara ya Maji), Charles Kitwanga (Wizara ya Madini) ,George Simbachawene (Wizara ya Ardhi na Makazi)…
source mwananchi

No comments:

Post a Comment