Tuesday 21 January 2014

WAZIRI MIZENGO KAYANZA PETER PINDA ATOA PIKIPIKI 44 KWA SHULE ZA SEKONDRI NA VITUO VYA AFYA

by rahim kassonga (La Captain)

Katika kuboresha huuma kwa wananchi, Mbunge wa jimbo la Katavi na waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda wmetoa pikipiki 44 kwa vituo vya afya, shule za sekondari na makatibu wa CCM.


baadhi ya wawakilishi waliopokea pikipiki hizo wakijaribu pikipiki zilizotolewa na mh Pinda

Mmoja wa maafisa ajiribu kuwasha pikipiki zilizotolewa na mh.Pinda

wawakilishi wa taasisi zilizokabidhiwa pikipiki wakizichagua na kuchagua pikipiki zao

baadhi ya pikipiki zilizotolewa kwa taasisi na mh. waziri mkuu Pinda

mh.Charles Kanyanda mwakilishi wa waziri mkuu ambaye ndio aliyekabidhi pikipiki hizo, na kusema kuwa pikipiki hizo zitumike kwa kazi za kijamii zilizokusudiwa ili zisaidie jamii.

Kanyanda alisisitiza kuwa kwa yeyote atakayebadili matumizi ya pikipiki hizo basi atanyang'anya na kupewa watu wengine

Ndg. Emmanuel Chaula, katibu wa wawakilishi wa vituo vilivyopewa pikipiki akikabidhi risala kwa mgeni rasmi mh. Charles Kanyanda mwakilishi wa wazir mkuu

mwakilishi wa waziri wa mkuu akikabidhi kadi ya pikipiki kwa mmoja wa wawakilishi

wawakilishi wa vituo vilivyopata pikipiki wakikagua pikipiki walizopewa 

Mbali na pikipiki hizo pia wawakilishi hao walipatiwa mafunzo ya usalama barabarani ambapo walilipiwa gharama za mafunzo hayo na kulipiwa leseni ambavyo vyote kwa  3,200,000.
aidha, wawakilishi hao wameashwa kufuata vema kanuni za usalama barabarani na kuzitunza vizuri pikipiki hizo pia wameaswa wasizitumie kama bodaboda bali zikafanye kazi iliyokusudiwa tu.

No comments:

Post a Comment