Sunday 26 January 2014

MH. KIKWEMBE ATOA VIFAA VYA MAABARA SEKONDARI YA MWANGAZA

by rahim kassonga (La Captain

Katika jitihada za kukuza na kuendeleza elimu hususani katika masomo ya sayansi, Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Katavi kwa tiketi ya CCM mh. Pudenciana Kikwembe ameipatia shule ya sekondari Mwangaza vifaa vya maabara vyenye thamani zaidi ya milioni mbili zikiwemo kemikali


vifaa hivyo vilikabithiwa ijumaa mchana shuleni mwangaza mbele ya mwenyekiti wa Halmashauri ya mji Mpanda mh Enock Gwambasa, Afisa elimu mji, mkuu wa shule mh. Simon Rubange, walimu na wanafunzi


mh kikwembe akiingia mwangaza sekondari
waeni wakisalimiana, nje ya ofisi ya mkuu wa shule
mh. kikwembe akijiandaa kusaini kitabu cha wageni ofisini kwa mkuu wa shule
baadhi ya wanafunzi ambao waliwawakilisha wenzao kupokea msaada huo
mh. kikwembe akitoka kusalimiana na wanafunzi
mh. kikwembe anasisitiza jambo kuhusu mtalaam wa masomo ya sayansi wa
kujitolea kutoka korea kusini ambaye yupo mwangaza sekondari
Mr. Kim mtaalam wa kujitolea wa masomo ya sayansi kutoka korea kusini akitoa neno la shukranii na usia kwa wanafunzi

mh kikwembe akiwahusia wanafunzi kuhusu shule, likini pia alizungumzia umuhimu wa masomo ya sayansi
baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa

baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa

baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa
baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa
mh. akitafakari jambo na pembeni kushoto ni vifaa alivyovitoa

Mkuu wa shule ya sekondari mwangaza akitoa shukrani zake kwa mh. Kikwembe kabla ya kupokea vifaa

Afisa elimu mji akitoa shukrani zake na kuwahusia wanafunzi hasa wa kike umuhimu wa kusoma na kumtolea mfano mh. Kikwembe kwa ni mwanamke mwenye PHD




Mh Enock Gwambasa , meya akisisitiza jambo kwa wanamwangaza

Mh. Meya akitoa shukrani kwa mh kikwembe

Mh. Pudenciana Kikwembe mbunge viti maalum

baadhi ya walim wakisiliza kwa makini maelekezo na maagizo


No comments:

Post a Comment