Wednesday 4 December 2013

BREAKING NEWS : MAHAKA YA RUFAA IMERIDHIA HUKUMU YA KAJALA


Mahakama ya Rufaa kanda ya Dar imeridhia hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya faini ya sh. milioni 13 na kumuachia huru staa wa filamu za kibongo, Kajala Masanja.

Kajala sasa yupo huru baada ya kulipa faini hiyo ambapo hivi karibuni mumewake Faraji Agostini amekata rufaa ingawa teyari imeshapingwa. Faraji anatumikia kifungo cha miaka mitano katika hukumu ya kesi ya kutakatisha fedha haramu iliyotolewa mapema wiki hii.

No comments:

Post a Comment