Friday 11 October 2013

MPANDA FM RADIO NDANI YA MAHAFALI KATUMBA

Na: rahim kassonga (La Captain)

UONGOZI WA MPANDA FM RADIO, WAALIKWA KAMA WAGENI RASMI KWENYE MAHAFALI HUKO TAMBAZI (makazi ya wakimbizi katumba)

msafara wa Mpanda FM radio ukiwa kwenye ofisi za mkuu wa makazi katumba, kwa ajii ya kujitambulisha na kupata kibali cha kuingia makazi

Tunu Lugombe akifanya yake wakati Mpanda FM radio wakisubiri hatua za  ofisi ya makazi




Babuu the suka akipoza mtambo wake baada ya kuvunja rekodi ya kutembea dakika 18 Mpanda -Katumba

Msafara wa Mpanda FM radio upo Tambazi-Katumba kwenye shule ya msingi Tambazi 
Mgeni rasmi, meneja wa Mpanda FM radio akiingia eneo la tukio

waalikwa Mpanda FM radio wakiwa meza kuu, tayari kwa kuanza ratiba za mahafali yaliyofana sana

meza kuu wapili kulia ni mkuu wa shule, katikati mgeni rasmi

baadhi ya wanafunzi wa Tambazi na waagwa

wanafuzi wa Tambazi wakifuatilia kwa makini utaratibu mzima

baadhi ya wahitimu

wanaTambazi na baadhi ya wanafunzi waliohudhuria mahafali hiyo

mchungaji akifungua mahafali kwa maombi

wananchi wa Tambazi wakisikiliza kwa makini maneno toka meza kuu

mkuu wa shule akitambulisha watumishi wake kwa mgeni rasmi

mtangazji wa Mpanda radio akituma tukio hilo live radioni, huku akipata ulinzi mkali toka kwa bodyguard (kassonga)

Captain kassonga akiwa kazini

meneja wa mpanda FM radio na Tunu Lugombe wakiwa meza kuu

waagwa wa shule ya msingi Tambazi 2013, wakitoa burudani

mapanga shaaaaaaaa, pia yalikuwepo

waagwa akiyakata mapanga

burudani za kutosha zilikuwepo

pozi za graduuuuuuu

ngonjera nazo hazikuwa nyuma

wanafunzi darasa la kwanza hadi la tatu akiburudisha kwa ngonjera

watangazaji wa Mpanda FM radio wakifuatilia burudani kwa makini

meneja wa Mpanda FM radio akiwa makini na matukio ya graduuuuu

pozi la menejaaaaaaaaaaaaaaaa

MC wa tukio hilo alikuwa na makeke mengi na kutoa burudani ya aina yake hapa akiwa kwenye poziiii

wanafunzi waagwa akitoa burudani

sio kama wamechoka bali ni pozi la umakini wa matukio

burudani zilipochanganya, meza kuu ilishindwa kujizuia kwa kucheka

wahitimu wakisoma risala kwa mgeni rasmi

mgeni rasmi akijiandaa kupokea risala

mgeni rasmi akipokea risala toka kwa waagwa

baada ya kusoma risala, waagwa aliondoka kwa kustua kijoti na kutoa burudani babu kubwa

mgeni rasmi akiipitia risala na kunong'ona kitu na tunu lugombe

mgeni rasmi anatoa zawadi ya mwanafunzi bora kwa upande wa taaluma

mtoto wa mwalimu lazima awe na akili, hapa mtoto wa mwalimu na mama yake akipokea zawadi 

bodyguard yupo makini na kazi yake

mwanafunzi aliyepokea zawadi ya usafi akipongezwa na walimu wake na kupewa zawadi ya  vyoda

zawadi zikiendelea kutolewa

meza kuu ilipomaliza kutoa zawadi

kutoa zawadi kazi hadi kiu!!!!!!!!!

waagwa akisikiliza nasaha kwa makini na nidhamu ya hali ya juu

waagwa akishangilia nasaha nzuri toka kwa mgeni rasmi Meneja wa Mpanda FM radio

mwanafunzi huyu alikuwa burudani na kuwavutia wengi kwani
alikuwa mcheshi, akihusika kila tukio, bingwa wa viduku lakini pia aliwafunika wanafunzi wenzake wote
kitaaluma .....kweli wanawake wanaweza

meneja wa Mpanda FM radio Gerard Seti Sedekia akitoa hutuba kwenye mahafali

menejaaaaa, tabasam hilooooooooooo

mkuu wa shule na meneja Seti wakiwa tayari kwa picha ya pamoja na kupokea zawadi toka  waagwa

hapa katika picha ya pamoja

    meneja baada ya kupokea zawadi toka kwa waagwa


serikali mpo wapi?????   oneni shule yenu hii imeisahau? darasa hili ni baadhi ya madarasa machache yanayohitaji ukarabati shuleni Tambazi

usafiri wetu

wazazi wakibebelea zawadi tayari kuwapa waagwa

mtangazaji wa mpanda fm radio akiwa kwenye tanki la maji ambalo linatumika kuvunia maji ya mvua na huu ni mfano wa kuigwa kwa shule zingine

ni kama utaliii


pozi la bodyguardddddddddddd





No comments:

Post a Comment