Monday 30 September 2013

TIGER WOODS AWA PGA TOUR MCHEZAJI WA MWAKA

by rahim kassonga



Tiger Woods alitajwa kama mchezaji wa Mwaka wa Tour PGA kwa mara 11 na wenzake



Woods, 37, alishinda matukio matano ya kwanza kati ya 11, wakati Spieth, amekuwa mchezaji chipukizi tangu 1931.

Kura hizo zilipigwa na wanachama wenzake kwenye ziara ambao walicheza katika matukio angalau 12 rasmi katika mwaka 2013. Wanachama hao hupiga kura kuonesha heshima kwa wenzao alisema kamishna wa PGA Tour Tim Finchem.

Watu wengi walisema kushinda tena " alisema Tiger Woods baada ya ushindi huo 

LIONEL MESSI: AUMIA WAKATI BARCELONA IKIENDELEZA REKODI YA KUSHINDA MECHI SABA MFULULIZO

by rahim kassonga



Messi Lionel alitolewa baada ya kuumia mguu wakati Barcelona ikiwapiga Almeria 2-0 huku akiweka rekodi ya klabu hiyo kushinda michezo saba mfululizo ya ligi mwanzoni mwa msimu

 Muargentina huyo , ambaye alifunga goli lake la nane kwenye ligi msimu huu anatarajiwa kufanyiwa vipimo jumanne wiki hii

Mbrazil Adriano ndiye aliyeipatia Barca bao la pili 'baada ya mapumziko baada ya kuunganisha krosi hafifu ya Fabrigas

Messi, 26, ambaye alionekana mbele ya hakimu wa Kihispania ijumaa katika kesi inayomkabilia ya udanganyifu wa kodi aliiwezesha Barcelona kuongoza katika dakika ya 21, alipopiga shuti kali umbali wa yadi 20, lakini dakika nane baadae alitolewa baada ya kuumia

Gerardo Martino, ambaye aliteuliwa kuwa kocha wa Barca katika majira ya joto, amezishinda rekodi zilizowekwa na mameneja wengine watano waliomtangulia akiwemo  - Pep Guardiola (2009-10) na Tito Vilanova (2012-13) ambao walifanikiwa kuanza kwa kushinda michezo 6 mfululizo



Baada ya mchezo mbazili ADRIANO alisema kuhusu majereuhi ya Messi kuwa ninaimani sio makubwa na atakuwa nasi katika michezo ijayo. Aliongeza kuwa Messi ni mchezaji bora na muhimu, timu inakamilika na kuwa tofauti mkiwa nae
Lakini taarifa toka ndani ya klabu hiyo zinasema mchezaji huyo atakaa nje kwa wiki 2 hadi 3

UEFA CHAMPIONZ LEAGUE KESHO



by rahim kassonga

JUMANNE-ARSENAL v NAPOLI, CELTIC v BARCA, STEAU v CHELSEA! 


Mechi za Makundi-Raundi ya Pili:
Jumanne 1 Oktoba 2013
FC Basel 1893 v FC Schalke 04
FC Steaua BucureÅŸti v Chelsea FC
Borussia Dortmund v Olympique de Marseille
Arsenal FC v SSC Napoli
Football Club Zenit v FK Austria Wien
FC Porto Club v Atlético de Madrid
AFC Ajax v AC Milan
Celtic FC v FC Barcelona

ZIFUATAZO NI DONDOO MUHIMU ZA KILA MECHI HIZO:

KUNDI E (FC Basel v FC Schalke 04; FC Steaua BucureÅŸti v Chelsea FC)
• Basel na Schalke zilikutana UEFA CUP Msimu wa 2004/05 hatua za Makundi na kutoka 1-1.
• Msimu uliopita, Steaua waliifunga Chelsea kwenye UEFA EUROPA LIGI Raundi ya Mtoano ya Timu 16 kwa Bao la Penati ya Raul Rusescu lakini kwenye Marudiano huko Stamford Bridge, Steau ilichapwa Bao 3-1 kwa Bao za Juan Mata, John Terry na Fernando Torres huku Bao pekee la Steau likifungwa na Vlad ChiricheÅŸ.
KUNDI F (Borussia Dortmund v Olympique de Marseille; Arsenal v  Napoli)
• Dortmund na Marseille zilicheza kwenye Kundi moja la UCL Miaka miwili iliyopita na Marseille kushinda 3-0 Nyumbani na 3-2 Ugenini.
• Mara ya mwisho kwa Arsenal kucheza na Timu ya Serie A ilitolewa nje ya UCL kwenye Raundi ya Mtoano ya Timu 16 kwa kuchapwa 4-0 na AC Milan huko San Siro Msimu wa 2011/12 na wao kushinda 3-0 Uwanjani kwao Emirates.
KUNDI G (FC Zenit v FK Austria Wien; FC Porto v Club Atlético de Madrid)
• Hii ni mara ya tatu kwa Zenit kucheza na Klabu za Nchini Austria na mara ya kwanza walicheza na ASKÖ Pasching ambayo baadae ilibadilishwa Jina na kuitwa SK Austria Kärnten na hiyo ilikuwa kwenye Misimu ya 2004/05 na 2005/06.
• Msimu uliopita Porto, walishinda Mechi zao zote za Nyumbani kwenye UCL kwa kufunga Bao 8 na kufungwa 2 tu.
KUNDI H (AFC Ajax v AC Milan; Celtic FC v FC Barcelona)
• Ajax walitwaa Pointi 4 kwenye Mechi za Mkundi za UCL za Msimu wa 2010/11 dhidi ya AC Milan. Wakati huo, katika Mechi ya kwanza,  Zlatan Ibrahimović aliifungia Bao AC Milan dhidi ya Ajax ambayo ilikuwa Timu yake ya zamani na Mounir El Hamdaoui kuisawazishia Ajax na kutoka 1-1 lakini katika Mechi ya Marudiano Ajax walishinda 2-0 kwa Bao za Demy de Zeeuw na Toby Alderweireld.
• Rekodi ya Barcelona dhidi ya Klabu za Scotland kwa Mechi za Nchini Scotland ni Ushindi 2 Sare 1 na Kufungwa 3.


MATOKEO-Mechi za Kwanza:
Jumatano 18 Sep 2013
FC Schalke 3 FC Steaua BucureÅŸti 0
Chelsea 1 FC Basel 2
Olympique de Marseille 1 Arsenal 2
SSC Napoli 2 Borussia Dortmund 1
FK Austria Wien 0 FC Porto 1
Club Atlético de Madrid 3 Football Club Zenit 1
AC Milan 2 Celtic FC 0
FC Barcelona 4 AFC Ajax 0

Sunday 29 September 2013

TETESI ZA USAJILILiverpool kufanya hoja kwa Pastore Liverpool wameripotiwa kuweka kufanya hoja kwa Javier Pastore mwezi Januari, na mbele furaha na hali yake katika Paris Saint-Germain.

ARSENAL KUMPA MERTESACKER MKATABA MPYA
Arsenal inajiandaa kumpa Per Mertesacker  mkataba mpya wa miaka mitatu, baada ya mkataba wa sasa kumalizika mwishoni mwa msimu ujao.


Manchester United, PSG na AS Monaco wote waingia kwenye vita ya kumwania Eliaquim Mangala beki wa FC Porto

LIVERPOOL WAJIANDAAA KUMPA MKATABA MPYA RODGERS
Klabu ya Liverpool inajiandaa kumpa meneja wake Brendan Rodgers mkataba mpya, ikiwa inahofia anahofia ya ukweli kwamba Irishman Kaskazini ana miaka chini ya miwili kushoto kukimbia juu ya mpango wake wa sasa.


Liverpool wameripotiwa kuweka mipango ya kumnasa mshambuliaji wa PSG Javier Pastore mwezi Januari, ambaye amekuwa hana furaha klabuni hapo