Monday 16 December 2013

MWANA KABENDE FATAKI ASHUSHA KIPIGO KIKALI KWA BONDIA TOKA DAR

by rahim kassonga (La captain)

Bondia FATAKI toka Mpanda juzi alishushia kipigo cha nguvu bondia Tadeo toka Dar es salaam kwa kumtwanga kwa KO katika raundi ya pili tu tena sekunde za mwanzoni.

Pambano hilo ambalo ni la kwanza kufanyika mkoani Katavi lilisimamiwa na shirikisho la ngumi za kulipwa nchini TPBO.

Said Kassim Chaku ambaye pia ni katibu wa TPBO ndio alikuwa mwamuzi wa pambano hilo ambalo lilitangulia na mapambano mengine mawili na burudani mbalimbali zikiwemo muziki toka kwa vijana wa mkoani katavi na mchezo wa TAI CHI

Majaji wa mapambano yote matatu walikuwa ni Steven Monela bondia na mwanajeshi mstaafu na Rey Mwanauta wote kutoka Katavi
maandalizi ya pambano glove zikiwa tayari kwa ajili ya pambano

ulingo uliandaliwa vema

wasanii D-touch na D-zela wakifanya yao

Ally Bizo akishambulia jukwaa


mkurugenzi wa Pamoja FM Emmanuel mallack akitoa neno 

Balbel King akifanya yake

Balbel King

Bondia kulwa akijiandaa kucheza pambano la utangulizi na Benjamini


Benjamin akiwa tayari kumkabili kulwa



Refarii said Chaku akitoa maelekezo kwa mabondia kabla ya pambano


Ngumi jiwe shurti ukunje sura- chezea masumbwi wewe






Konde sharti litokee mbali

sio kama nakwepa bali navuta kasi ya konde

MC kelly B akijumlisha hesabu na refa CHAKU

benjamin ameshinda kwa pointi 39 dhidi ya 38 za mpinzani wake kwenye uzito wa unyoya


Pambano la pili ambapo Oswald mwenye bukta nyekundu akipambana na Elfaz mwenye Blue

refa yupo makini kwelikweli




Oswald aliibuka kidedea kwa pointi 40 dhidi ya 36 za mpinzani wake

mambo ya TAI CHII

Radical Mnyama akifanya unyama jukwaani, funika mbayaaaaa

kazi ilikuwepo Radical aliwasha moto vibaya yaani mpaka baaaasiiiiii

mwana Kabende Fataki akiingia na wapambe wake

Add caption

Simon Tadeo kama Tyson atoki katikati anakufuata tu

Makonde yaliendelea

Tadeo akijaribu kuinuka bila ya mafanikio baada ya kupokea konde nene toka kwa Fataki

King FATAKI akitia mbwembwe baada ya kumaliza mpinzani wake kwenye raundi ya pili

refa akitangaza mshindi

Steven Monela kocha wa Fataki akimpongeza kijana wake

Ndondi sio ugomvi, baada ya kubondwa mnakuwa marafiki kama kawa, fair play


Fataki akipongezwa na mashabiki wake



Fataki akiwashukuru mashabikimkwa sapoti yao



La Captain akiwa kazini 





wasanii radical na ally bizo wakimpongeza kaka yao fataki

No comments:

Post a Comment