Thursday 3 April 2014

2Chainz kupandishwa kizimbani kwa kesi ya dawa za kulevya

Rapper 2 Chainz atapandishwa kizimbani wiki ijayo kujibu mashitaka kufuatia tukio la kukamatwa na codeine inazotumika kutengeneza dawa za kulevya aina ya sizzurp, June mwaka jana.
 Kwa mujibu wa TMZ rapper huyo wa Georgia baada ya kukamatwa mwezi June polisi waliripoti kuwa mbali na codeine alikutwa na dawa nyingine za kulevya ikiwa ni pamoja na bangi.
Endapo atakutwa na hatia katika kesi hiyo, 2Chainz anaweza kutumikia kifungo cha hadi miaka mitatu jela.

No comments:

Post a Comment