Tuesday, 12 November 2013

HUYU NDIO MSANII WA TAARABU ALIYEFARIKI DUNIA LEO.

by zangii ze icon


Marehemu Nyawana Fundikira enzi za uhai wake.

Msanii wa taarab nchini anayejulikana kwa jina la Nyawana Fundikira aliyetamba na wimbo wa 'Nipo Kamili Nimejipanga', amefariki dunia  kwa ugonjwa wa malaria.




Nyawana amefariki akiwa kwake maeneo ya

Mwananyamala B na mwili wake sasa umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala, Dar.

Marehemu Nyawana alizaliwa mwaka 1977 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kupata elimu yake katika shule mbalimbali kuanzia Msingi, Sekondari na elimu ya juu.

Shule ya Msingi Zanaki ndipo alipopata elimu yake mwaka 1983 na kuhitimu mwaka 1989, wakati ile ya Sekondari alisoma Masjid Quba mwaka 1992 na kumalizia Al Haramain.

Baada ya hapo alisomea Uhadhiri kabla ya kumaliza na kusomea masomo ya Uandishi wa Habari na Utangazaji, ambapo pia alishiriki shindano la urembo na kunyakua taji la Miss Tabora, mwaka 1996.

Mbali na sanaa ya uimbaji, pia Nyawana ni mwandishi na mtangazaji, aliyefanya vyema mno, hasa kwa kutangaza vipindi vya taarabu, katika redio kadhaa, ikiwamo ile ya Voice of Tabora.

Baadhi ya nyimbo alizorekodi marehemu ni pamoja na 'Nipo Kamili Nimejipanga' na 'Umesharoga Wangapi', nyimbo ambazo zilitangaza na kuonyesha kipaji chake halisi.

Baadhi ya makundi ya taarab aliyowahi kufanya nayo kazi marehemu ni, Kings Modern Taarab na Tanzania Moto Modern Taarab, maarufu kama T-Moto.

MSANII PROFESA JAY APATA AJALI MBAYA YA GARI.


by zangii ze icon
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwanamuziki wa Hip hop, Joseph Haule 'Profesa Jay' amepata ajali ya gari baada ya kuparamia kifusi akijaribu kumkwepa mtu eneo la Kimara-Baruti, jijini Dar wakati akitoka nyumbani kwake Mbezi! Prof hajaumia sana katika ajali hiyo japo gari lake limeharibika.

PICHA;TIZAMA PICHA ZA UZINDUZI WA ALBUM YA MAKUHANI CHOIR JANA MAKANYAGIO

 by zangii ze icon
zangwinyo korobwinyo ....hatareee sana cheki nyomi mtu wangu

sema wewe....ni ful upako mpendwa....twende kazi
ilikuwa shangwe za ukweeee
ILIKUWA NI SIKU YA UZINDUZI WA ALBUM MPYA YA KWAYA HAPA MPANDA,


INAITWA MAKUHANI KWAYA,MGENI RASMI ALIKUWA MKURUGENZI WA RADIO MPANDA FM NA KWAKUWA ALIKUWA NJE YA NCHI KWA MATIBABU,ALIWAKILISHWA VEMA NA MENEJA KITUO GERLAD SETTY SEDEKIA 

AKIWA SAMBAMBA NA TEAM YA WAANDISHI WA HABARI MAHIRI TOKA 97.0 MPANDA FM SAUTI YA KATAVI 


RAHIM KASSONGA,BENEDICT KUZWA ,ALINANUSWE EDWARD NA TUNNU LUGOMBE AMBAYE ALIKUWA NDIYE MC WA SHUGHULI PALE KANISANI JIONEE PICHA HAPA
meneja kituo cha redio mpanda fm akikaribishwa na mchungaji na waumini kanisani


kwakutulia ....muite baba wawili ..kiroho safi  


mc tunu lugombe...bibi...amshaaaa popooo....
jambooo...makanyagioooo...haya nipo hapa kwa niaba mkurugenzi...amin mitha


mgeni rasmi...twakuomba uje uongee na wana katavi...huyu ndo mc bibi tunu

.....naahidi kwa niaba ya mkurugenzi wa mpanda fm..kutoa milioni mbili na nusu za ku shuti video yenu...pia promo kali ndani ya 97.0 voice of katavi....sedekia setty baba wawili



changizo likaendelea....



tuka pata risala kwa ufupi....



burudani.....




tuka maliza na kuondoka......


Thursday, 7 November 2013

Victoria Kimani amshambulia hater baada ya kumuita "Brainless Rihanna Copycut"


BY ZANGII ZE ICON
Mwanamuziki Victoria kimani, dada wa Rapper Bamboo ambae kwasasa anafanya vizuri na wimbo wake "Mtoto" amejikuta akipeleka majeshi kwa mtu mmoja ambae ni shabiki lakini ni hater ambae alithubutu kumwambia "hana akili"  kwa kuiga mavazi aliyokuwa ameyavaa Rihanna (Mexican Gangster) wakati wa haloween


Victoria Kimani kwenye haloween 2013


WASAMBAZAJI WAAKANDAMIZA WASANII WA FILAMU



WASANII wa filamu nchini bado wanaendelea kupokea  kipato kidogo kutoka kwa wasambazaji wa filamu hali iinayopelekea kudumaza  soko la filamu nchini, huku kupelekea wasanii hao kuwa na kipato cha chini.

Hayo yalibainishwa na msanii wa filamu za maigizo nchini Kulwa Kikumba 'Dude' ambapo aliweka wazi kuwa tasnia hiyo inaonekana kukuwa siku hadi siku ingawa wasanii hao bado wanaonekana kuwa masikini kutokana na kipato wanachopata.

Aliweka wazi kuwa mfumo mbaya wa mauzo ya filamu nchini ndio chanzo pekee kinachodidimiza kazi za wasanii hao huku baadhi yao wakikosa soko la filamu hali inayochangia baadhi yao kupotea katika tasnia hiyo.

Alibainisha kuwa wapo baadhi ya wasanii wanaendelea kunufaika kutokana na kazi zao lakini walio wengi wanaendelea kudidimia hadi hapo mfumo wa usambazaji utakapobadilika ndipo ahueni itakapopatikana kwa wasanii wengine.

" Sisi wasanii tumekosa ushirikiano kutokana na baadhi ya wasanii kunufaika na kazi hizo huku wengi kunyonywa na wasambazaji , ila kama tungeweza kushirikiana wasanii wote tukawa tunauza filamu kwa bei zinazolingana na ubora na ghrama ya filamu tungefika mbali" alibainisha Dude

LULU AKANUSHA KUCHUMBIWA


MSANII wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu' akanusha taalifa za kuzushiwa za kuchumbiwa na kukalibia kuolewa muda mchache zilizoandikwa na moja ya chombo cha habari jijini.

Lulu amekanusha taarifa hizo ambazo zimeandikwa na gazeti moja la udaku kuwa anatarajia kuolewa hivi karibuni  huku wazazi wake wakiwa tayari wameshapokea mahali.

Akizungumza na katika mahojiano , muigizaji huo ameweka wazi kuwa ameshangazwa na habari hizo ambapo baadhi ya magazeti mengi ya udaku ndiyo yamekuwa yakimwandika kile wanachojisikia.

Aliweka wazi kuwa hajachumbiwa na mwanaume yoyote yule na siku ikitokea amechumbiwa basi kila mtu atajua kwani halitakuwa jambo la kificho tena.

"Sijajua wao wameipata wapi hiyo habari kutoka chanzo kipi, kila kukicha kumekuwa na habari mtu akijisikia kuandika tu anaandika bila hata ya kufikiria leo wameandika nimechumbiwa, kesho wataandika nimeolewa, tena wataandika nimeachwa, kila watakalo lihisi kuandika wanaandika" alieleza Lulu.

Aliweka wazi kuwa kuchumbiwa kuolewa ni vitu ambavyo vimeumbiwa binadamu, vipo kama ukiwa na mpango wa mwenyezi mungu nitachumbiwa.

BAADA YA KUTOKA LUPANGO..... MASOGANGE APIGA ZA NUSU UTUPU

 SIKU chache baada ya kutoka lupango kwa msala wa madawa ya kulevya, ‘video queen grade one’ Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametupia picha za utupu mtandaoni.
Agnes Gerald ‘Masogange’ katika pozi.
Masogange na mwenzake, Melisa Edward walikamatwa nchini Afrika Kusini Julai 5, mwaka huu wakidhaniwa kuwa na madawa haramu ya kulevya na baadaye mahakama kuu ya nchini humo ikawaachia kwa dhamana ikidai unga waliokutwa nao si madawa ya kulevya bali ni mali ghafi zijulikanazo kama Methamphetamine. Baada ya kuachiwa huru, Masogange anayesifika kwa kuwa na figa matata, alitupia picha hizo katika mtandao wa Instagram akiwa amevalia sidiria na nguo ya ndani pekee hali iliyowafanya wafuasi wa mtandao huo wamshangae huku wengi wakimlaumu kuwa alichokifanya hakifanani na maadili ya Mtanzania.
 
Video queen grade one Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’.
“Sasa huu upuuzi gani unatuwekea humu, kwani kila kitu unachofanya ni lazima sisi tuone? Hivi kwa nini mastaa wa Bongo wanapenda kujirahisi kiasi hiki?” alihoji mmoja wa wafuasi wa mtandao huo. Pamoja na wadau wengi kuonesha kukerwa na picha hizo, Masogange hakujali, aliwajibu kuwa kama hawataki kuziona picha hizo wamuondoe kwenye listi ya marafiki mtandaoni humo kwani siyo lazima. “Hii ni akaunti yangu, nina uhuru wa kuweka picha za aina yoyote. Kama mtu anaona nimemkera basi ‘aniblok’ maana hapa nimevaa mavazi ya kuogelea sasa mlitaka nivae pensi niogelee nayo? Simuogopi mtu…,” aliandika Masogange.

HII NI LAANA...!! MISS UTALII NA MSANII WA BONGO MOVIE WANASWA WAKISAGANA LIVE...CHEKI PICHA HAPA

Fathiya" Mrembo wa Facebook" na Suzi Magoti mshiriki kwenye filamua Ngema akimvua nguo mrembo huyo kuanza tendo.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kusikitisha matendo ya aibu kwa wasanii wetu yameendelea kushika kasi kama moto wa tipa baada ya blog hii makini kunasa picha nyingine za wasanii hawa wakusagana live bila chenga.
  Tumefanikiwa kupata picha hizi ambazo ni baadhi tu licha ya kwamba kuna CD nzima ya picha hizo tunazo kabatini na kuna taarifa kuwa pia kuna CD ya Viedo kabisa ambayo ndani yake kuna mambo ya kutisha.
tunakuahaidi siku mbili hizi itakuletea tuki hilo moja kwa moja kupitia blog hii pamoja na kuzimwaga picha hizo zaidi. Habari zaidi zilisema kuwa wasanii hao ambao mmoja alikuwa mshiriki Miss Utalii mwaka huu na mwingine ni staa kwenye filamu ya msanii Manaiki Sanga ambayo bado haijatoka na ndiye kwenye video hiyo anaonekana fundi wa kumbonyeza mwenzake.
Bofya hapo chini kuangalia picha hizo...