BY ZANGII ZE ICON
Mwanamuziki Victoria kimani, dada wa Rapper Bamboo ambae kwasasa
anafanya vizuri na wimbo wake "Mtoto" amejikuta akipeleka majeshi kwa
mtu mmoja ambae ni shabiki lakini ni hater ambae alithubutu kumwambia
"hana akili" kwa kuiga mavazi aliyokuwa ameyavaa Rihanna (Mexican
Gangster) wakati wa haloween
Victoria Kimani kwenye haloween 2013
No comments:
Post a Comment