Thursday 7 November 2013

Victoria Kimani amshambulia hater baada ya kumuita "Brainless Rihanna Copycut"


BY ZANGII ZE ICON
Mwanamuziki Victoria kimani, dada wa Rapper Bamboo ambae kwasasa anafanya vizuri na wimbo wake "Mtoto" amejikuta akipeleka majeshi kwa mtu mmoja ambae ni shabiki lakini ni hater ambae alithubutu kumwambia "hana akili"  kwa kuiga mavazi aliyokuwa ameyavaa Rihanna (Mexican Gangster) wakati wa haloween


Victoria Kimani kwenye haloween 2013


No comments:

Post a Comment