by zangii ze icon
Anatambulika kwa
HUYU ndiye msanii niliyemzungumzia wiki iliyopita kuhusu kichapo alichopewa kama mnavyomuona hapo pichani.
Anatambulika kwa
jina
''Kazi Kijeba''.. MSANII kutoka kundi la BONGO SUPERSTAR'S
COMEDY linalorusha kipindi chake maarufu hapa nchini (VITUKO SHOW)
Kinachorushwa katika runinga ya CHANNEL TEN Kundu hili limeweka kambi
ya takribani miaka miwili mkoani Tanga.
Nafikiri chazo cha habari cha wiki iliyopita hakikufafanua kisa kwa kina,tuliweza
kuongea na msanii huyu na kugundua kwamba aliyemdunda kumbe alikuwa
mpenzi wake anaeishi maeneo ya usagara Jijini Tanga, Na sio mara moja
alishawahi kumpiga tena mara ya kwanza wakaachana baadae kama mnavyojua
mapenzi, Si wakarudiana tena?.. Ila hii ya sasahivi hakuwa na nia njema
maana alimpigia kelele za mwizi hatimaye msanii huyu kunusurika kufa
aliokolewa na muuza bucha baada ya kukimbilia buchani..! Ama kweli
wanawake wa sikuhizi noma...! Yani weka jiwe niweke kigingi.
No comments:
Post a Comment