Thursday 28 November 2013

HUYU NDIO MSANII WA VITUKO SHOW ALIYEPIGWA NA MKE WAKE KIPIGO CHA PAKA MWIZI.

by zangii ze icon

HUYU ndiye msanii  niliyemzungumzia wiki iliyopita kuhusu kichapo alichopewa kama mnavyomuona hapo pichani.


Anatambulika kwa
jina  ''Kazi Kijeba''.. MSANII kutoka kundi la BONGO SUPERSTAR'S COMEDY linalorusha kipindi chake maarufu hapa nchini (VITUKO SHOW) Kinachorushwa katika runinga ya CHANNEL TEN Kundu  hili limeweka kambi ya takribani miaka miwili mkoani Tanga.

Nafikiri chazo cha habari cha wiki iliyopita hakikufafanua kisa kwa kina,tuliweza kuongea na msanii huyu na kugundua kwamba aliyemdunda kumbe alikuwa mpenzi wake anaeishi maeneo ya usagara Jijini Tanga, Na sio mara moja alishawahi kumpiga tena mara ya kwanza wakaachana baadae kama mnavyojua mapenzi, Si wakarudiana tena?.. Ila hii ya sasahivi hakuwa na nia njema maana alimpigia kelele za mwizi hatimaye msanii huyu kunusurika kufa aliokolewa na muuza bucha baada ya kukimbilia buchani..! Ama kweli wanawake wa sikuhizi noma...! Yani weka jiwe niweke kigingi.

No comments:

Post a Comment