Saturday 5 October 2013

KAKAO CHA TATU CHA KAMATI YA USHAURI (RCC) MKOANI KATAVI

 by rahim kassonga


KAKAO CHA TATU CHA KAMATI YA USHAURI (RCC) MKOANI KATAVI 
chaadhimia kuboresha sekta mbalimbali mkoani Katavi 
Dkt.Rajabu Lutengwa  mwenyekiti wa kikao hicho akifungua kikao




baadhi ya wajumbe wa mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa idara ya maji mjini Mpanda wakisiliza kwa makini hoja toka kwa mwenyekiti


mwenyekiti wa kikao hicho Dr Rajabu Rutengwe akijibu hoja za wajumbe 




ukumbi wa idara ya maji ambapo ndio kikao hicho kilifanyikia



wajumbe wakisiliza kwa makini mada toka kwa wawasilishaji

miongoni mwa wajumbe waliohudhuria kikao hicho


Katibu tawala wa mkoa, ambaye pia ndio alikuwa katibu wa kikao  hicho

wajumbe wa kikao cha RCC wakisikiliza mada


RPC mkoa wa Katavi kamanda Dhahiri Kidavashari akifuatilia kwa makini  mikhutasari  ya  kikao hicho

wajumbe wa kikao wakinakili dondoo muhimu za kikao hicho

mjumbe wa kikao hicho akichangia jambo

mjumbe wa kikao akichangia jambo kwenye kikao hicho

kamanda Kidavashari akitoa maoni yake kwenye kikao hicho



kamanda Kidavashari, akiweka maiki sawa kwa ajili ya kutoa maoni yake kwenye kikao hicho

technolojia haikuwa nyuma kwenye kikao hicho

manufaa ya EPZA yakiainishwa kupitia technolojia ya projector












mmoja wa watoa mada akisisitiza jambo kwenye kikao hicho

baadhi ya wajumbe wa kikao


No comments:

Post a Comment