Sunday 13 October 2013

NEEMA YANUKIA MPANDA.....

by rahim kassonga (La Captain)
 NEEMA YANUKIA MPANDA
VIJANA WAKE MBIONI KUONEKANA LIGI KUU

Katavi imeanza kuonesha dalili za kufunguka kwenye soka baada ya wachezaji wake kuanza kuonekana nje ya mkoa huu na safari kwenye timu inazoshiriki ligi kuu

wachezaji ndugu wawili toka familia moja David Siame na mdogo wake Raphael Siame wapo mbioni kujiunga na timu kubwa hapa nchini.
kwa upande wa David Siame (kaka mtu) yupo mbioni kujiunga na klabu ya Soka ya inayoshiriki ligi kuu ya Rhino Ranger ya Tabora wakati Raphael Siame yupo mbioni kujiunga na timu ya vijana ya Simba (simba B)

wachezaji wote hao kama haitatokea tatizo lolote watajiunga na timu hizo kwenye dirisha dogo la usajili mwezi januari mwakani.
David Siame kushoto na Nassoro Maswila kulia wakiwa kwenye studio za Mpanda FM Radio

No comments:

Post a Comment