by rahim kassonga
KOMBE
LA DUNIA KWA KLABU:
NI
MOROCCO 2013: DESEMBA 11 HADI 21!
STAA
MKONGWE wa Klabu ya Brazil Atletico Mineiro, Ronaldinho, amechanika Musuli ya
gaucho |
kwenye Nyonga
na sasa yuko hatarini kuyakosa Mashindano makubwa ya FIFA ya Kombe la Dunia kwa
Klabu yatakayochezwa huko Morocco kuanzia Desemba 11.
Atletico
Mineiro ndio Mabingwa wa Nchi za Marekani ya Kusini CONMEBOL baada ya kutwaa
Copa Libertadores.
Mashindano
hayo yataanza kuchezwa huko Morocco kuanzia Desemba 11 hadi 21 na kushirikisha
Klabu Bingwa za kila Bara pamoja na Raja Casablanca ya Morocco ambayo
imeingizwa kama Mwenyeji.
WASHIRIKI:
FIFA
KOMBE LA DUNIA KWA KLABU:
Zinaanza
Nusu Fainali:
-Brazil
Atlético Mineiro [Brazil] Bingwa CONMEBOL
-Bayern
Munich [Germany] Bingwa
Zinaanza
Robo Fainali:
-Bingwa
Asia HAJAJULIKANA
-Bingwa
Afrika HAJAJULIKANA
-Monterrey
[Mexico] Bingwa CONCACAF
Zinaanza
Mchujo kabla kuingia Robo Fainali:
-Auckland
City [New Zealand] Bingwa OFC
-Raja
Casablanca [Morocco] Mwenyeji
Daktari
wa Atletico Mineiro Rodrigo Lasmar amesema maumivu ya Ronaldinho, ambae amewahi
kuzichezea Klabu za Ulaya, AC Milan na Barcelona, yanaweza kuchukua hadi Miezi
mitatu kupona lakini wameshaanza kumtibu kwa bidii.
No comments:
Post a Comment