Chris
Brown amefunguka kuhusu kufanya kazi na rapper Kendrick Lamar na kusema
kuwa mistari aliyoandika kwenye wimbo wake ni mistari ambayo hajawahi
kuisikia kutoka kwa msanii yeyote na anakubali sana kipaji cha Kendrick.
Kendrick amefanya kazi na Chris Brown kwenye wimbo wake wa Autumn
Leaves ambao upo kwenye album ya X.Chris anasema Kendrick ni msanii
mpole mwenye nidhamu sana na ameone kitu tofauti kutoka kwake muda wote
waliokuwa wakifanya kazi.
No comments:
Post a Comment