Sunday 7 September 2014

Wadada Tubadilike Tabia ya Kuomba omba Kwa Wanaume si Nzuri inatuzalilisha



Wadada tubadilike jamani kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia coz ni kawaida yako, Hii tabia ndio inafanya mnamegwa ovyo ovyo

Wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yaani yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela. Ombaomba Siku Hizi Hawapo Barabarani tu Hata Kwenye Simu zetu Wapo Jamani ..

Hii ni tabia mbaya jamani tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa coz sio kawaida yako.

No comments:

Post a Comment