
Kanye West na mkewe Kim Kardashian wameliweka sokoni jumba lao
la kifahari lililoko Los Angeles, Marekani walilolinunua mwaka jana.
Kimye walinunua jumba hilo January 2013 kwa $9 million na kutumia zaidi ya mwaka mzima kufanya ukarabati ambao umeishia njiani, na sasa wameamua kuiuza kwa $11 million ambayo ni zaidi ya shilingi bilioni 18.
Kimye walinunua jumba hilo January 2013 kwa $9 million na kutumia zaidi ya mwaka mzima kufanya ukarabati ambao umeishia njiani, na sasa wameamua kuiuza kwa $11 million ambayo ni zaidi ya shilingi bilioni 18.

Kimye waliamua kununua mjengo mwingine ambao uko karibu na nyumba ya
mama yake na Kim kwa $20 million. Tazama picha za mjengo huo









No comments:
Post a Comment