Monday 22 September 2014

Mr Blue yuko tayari kufanya collabo na Diamond au Ali Kiba? Atoa Majibu



Hivi sasa katika mitandao ya kijamii wasanii wanaobattle kwenye vichwa vya habari na kutengeneza ‘kick ya story’ ni Diamond na Ali Kiba.
Kwa hiyo ni kawaida mstari mmoja unaowahuwahusu kutengeneza story ya aya tano kwa kuwa wanapendwa sana na mashabiki.  
Rapper wa Micharazo na BOB, Mr Blue amekutana na swali hilo wakati anaongea na mtandao wa Bongo5 ambao ulitaka kupata mtazamo wake ni yupi kati ya wakali hao angependa kushirikiana nae kwenye wimbo wake hivi karibuni.
“Unajua mimi wale wote washikaji zangu na wala sina tatizo nao, kwa hiyo niko tayari kufanya kazi na yeyote yule ambaye atakuwa tayari. Si unajua hii kazi na kazi mkishirikiana pamoja ndio inakuwa nzuri zaidi.” Amesema.
Mr Blue anatarajia kuachia video muda kwa wowote zilizoongozwa na Adam Juma, Pesa na Mapenzi.

Join The Community

Premium WordPress Themes

Monday, September 22, 2014

Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa



IMG_7407.JPG
Baada ya Man United kupokea kipigo kutoka kwa Leicester City, miamba mingine ya ligi kuu ya Uingereza Chelsea ilijitupa uwanjani kucheza na Manchester City.
Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Etihad umeisha kwa matokeo ya sare 1-1.
Dakika chache baada ya Pablo Zabaleta kutolewa kwa kadi nyekundu Chelsea walipata goli la kwanza kupitia mchezaji aliyetokea benchi Andry Schurrle.
Akitokea benchi mchezaji wa zamani wa Chelsea Frank Lampard aliunganisha krosi ya James Milner na kuisawazishia Man City.
Mpaka mpira unamalizika Man City 1-1 Chelsea.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/09/matokeo-ya-man-city-vs-chelsea-haya-hapa.html#.VB_FQhboTIU

Join The Community

Premium WordPress Themes

Monday, September 22, 2014

Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa



IMG_7407.JPG
Baada ya Man United kupokea kipigo kutoka kwa Leicester City, miamba mingine ya ligi kuu ya Uingereza Chelsea ilijitupa uwanjani kucheza na Manchester City.
Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Etihad umeisha kwa matokeo ya sare 1-1.
Dakika chache baada ya Pablo Zabaleta kutolewa kwa kadi nyekundu Chelsea walipata goli la kwanza kupitia mchezaji aliyetokea benchi Andry Schurrle.
Akitokea benchi mchezaji wa zamani wa Chelsea Frank Lampard aliunganisha krosi ya James Milner na kuisawazishia Man City.
Mpaka mpira unamalizika Man City 1-1 Chelsea.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/09/matokeo-ya-man-city-vs-chelsea-haya-hapa.html#.VB_FQhboTIU

No comments:

Post a Comment